IBADA MAALUM YA SHUKRANI YA FAMILIA 14 AGOSTI 2022

Mpendwa Msharika,

Bwana Yesu Kristo asifiwe!!

Tunapenda kukukaribisha kwenye Ibada ya Familia kwa ajili ya kumshukuru Mungu kutuvusha kipindi cha UVIKO-19 Siku  ya Jumapili tarehe 14 Agosti 2022.

Ibada itakuwa MOJA na itaanza saa 1:00 asubuhi.

???? Ibada itaambatana na Maombi Maalum ya shukrani kwa watu wote.

???? Tafadhali mkaribishe Jirani yako na rafiki yako

_Haleluya. Nampenda Bwana kwa kuwa anaisikiliza sauti yangu na dua zangu. Zaburi 116:2

Mungu akubariki!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked*