KAMATI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA BARAZA LA WAZEE 2022

Mkutano Mkuu maalum wa Usharika umewachagua Washarika watano (5) kwa ajili ya kusimamia uchaguzi wa Baraza la Wazee utakaofanyika tarehe 28 Agosti 2022.

Washarika waliochaguliwa ni:

1. Mary Mmari

2. Michael Besha

3. Naza Mngumi

4. Monica Soi

5. Baraka Manga

Bwana Mungu awabariki na kuwaongoza vema katika kazi ya Bwana.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked*