Kwaya Kuu Ya Usharika Kijitonyama
Kwaya Kuu ilianza mwaka 1983 ikiwa Na waimbaji 20, Kwa sasa kwa ya ina jumla ya waimbaji waliosajiliwa wapato 57. Kwaya hii ndiyo kwaya kuu ya usharika, inaimba nyimbo za muziki wa noteni. Kwaya Kuu inaongozwa kwa kufuata taratibu na kanuni za kanisa katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani ya KKKT. Kwaya inajumla ya albamu 14 za nyimbo, ambapo 13 ni za sauti(audio) na 1 ni video.
Kwaya Kuu
Sifa Za Kujiunga
Kwaya inaongozwa na utaratibu maalumu uliopo kwenye mwongozo wa Kwaya ambao pamoja na mambo mengine unatoa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na kwaya. Aidha, mtu yoyote anayetaka kujiunga na Kwaya atatakiwa kusoma mwongozo huo.
Maono Ya Kwaya
Kuwa kwaya ya mfano kwa kuimba nyimbo za noten kwa utaalamu zaidi na kutumia njia za kisasa kuhubiri injili diniani pote.
Matoleo Mbalimbali yaAlbum
1. Bwana Wa Ahadi | 6. Twendeni KwaYesu | 10. Ee Bwana Umenichunguza |
2. Amina Bwana Yesu | 7. Parapanda | 11. Heri Wenye Moyo Safi |
3. Kantate Domino | 8. Njooni Tumsifu Bwana | 12. Daniel |
4. Yesu Kuteswa Kwako | 9. The Best Of Kijito | 13. Matengenezo ya Kanisa(500) |
5. Katikomile |
Uongozi wa Kwaya
Jina | Cheo |
BRIGHTSON NJAU | MWENYEKITI |
LIBE MASSAWE | KATIBU |
JULLIETH MWAKIKOTI | KATIBU MSAIDIZI |
ESTER NKAMBWE | MTUNZA HAZINA |
EVELYNE MUSHUBI | MHAZINI MSAIDIZI |
Walimu wa Kwaya
JOACHIMU KISASA |
PAULO BAYONNA |
Mawasiliano
+ 255-22-2700279 | |
Mwenyekiti | +255 713 271510 |