Kwaya ya Uamsho

Kwaya Ya Uamsho Kijitonyama

Historia

Kwaya ilianzishwa mnamo 20/04/1996, ilikwa kwaya ya fellowship ikiwa na waimbaji sita (6) kwa sasa kwaya ina jumla ya wanakwaya thelathini na tano (35). Kwaya Uamsho ni mwanachama wa Umoja wa Kwaya za Uinjilisti na Uamsho jimbo la Kinondoni (UKUU) na Umoja wa Kwaya za Uinjilisti na Uamsho wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani (UKUD).

Dira

Kuwafikia watu wote wasiomjua Mungu maeneo ya misioni.

Dhima Ya Kwaya

Kuhubiri Injili ya Yesu Kristo kwa njia ya uimbaji kwa watu wote ili sawasawa na agizo la Yesu katika Mathayo 28:16-20

Sifa Za Kujiunga na Kwaya

  • Awe umeokoka na kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yake
  • Awe anshiriki Jumuiya na ibada zote.
  • Awe na namba ya ahadi ya Usharika.
Lengo Kuu La Kwaya
Kuhubiri injili ya Yesu Kristo kwa njia ya Uimbaji ili kuwa vuta watu kwa Mungu ili wa okoke na kumjua Mungu.

Malengo

Kuhubiri injili kwa njia ya nyimbo, kuwasaidia wahitaji maalumu,kujifunza neno la Mungu(bible study) na maombi.

Walengwa

Wakristo na wasio wakristo.

Nyimbo / Matoleo Mbalimbali

Cheo Jina
Mwenyekiti SAMSON BEGASHE
M/Mwenyekiti DOMINICK GABRIEL
Katibu JOYSTER NKYA
Naibu Katibu NAOMY ABEL

Ratiba Ya Mazoezi

Mazoezi hufanya mazoezi siku za Jumanne, Alhamisi na Jumamosi kuanzia saa 12 jioni hadi saa 2 usiku.