Umoja wa Vijana

Dira Yetu
Ni Kuona kijana amekua kimwili, kiuchumi, kiakili na kiroho.
Malengo Yetu
- Ni kuhakikisha tunafanya kazi ya kuwajenga Vijana katika kila Nyanja ya kiuchumi, kiroho na kiakili.

LENGO LA UMOJA WA VIJANA

Ni Kumlea kijana kimwili, kiakili na kiroho.

WALENGWA WA UMOJA WA VIJANA

Vijana wa usharika wa Kijitonyama.
Vijana

SIFA ZA KUJIUNGA NA UMOJA WA VIJANA.

Mwanachama wa umoja wa vijana anatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:-
Vijana

UONGOZI NA MAWASILIANO

Cheo Jina Mawasiliano
Mwenyekiti John Kishaluli 0712 545 657
M/Mwenyekiti Calvin Kimaro 0658 195 037
Katibu Tumaini Kabengula 0756 094 884
Katibu Msaidizi Rachel Alfred 0684 464 651
Mweka hazina Ayoub Mdala 0756 156 963