Uongozi

Maadili

Maadili ya Dayosisi ni pamoja na yafuatayo

Miradi Na Huduma Za Usharika

Huduma za kiroho
Kujenga nyumba za watumishi waliopo usharikani na ambao wako kwenye mitaa tunayofungua.
Huduma za kijamii
Kufungua shule ya mafunzo ya kushona kwa ajili ya vijana na akina mama. Kutoa elimu ya masuala ya uchumi kwa Washarika.

Kuongeza kipato

Kuanzisha miradi ya kutupatia kipato kama Hostel n.k.

Kuanzisha na kusimamia duka la usharika.

Kitega Uchumi

Usharika unamajengo mawili ya kitega uchumi KLC na KLC Annex

Mashamba Fukayosi

Kuendeleza shamba lenye hekta 50 huko Mkuranga linalosimamiwa na Kwaya ya Uinjilisti, kununua Tarumbeta na kinanda cha usharika na kufungua Tovuti ya usharika kama sehemu ya tovuti ya Dayosisi ya Mashariki na Pwani.

Studio ya kurekodi

Studio ya kurekodi nyimbo za kwaya.
Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro
2017 - Hadi Sasa
Mchungaji Anta Muro – Mkuu wa Jimbo
2015 - 2016
Mchungaji Prosper Kinyaha
2013 - 2015
Mchungaji Daniel Mbowe
2014 - 2015
Mchungaji Dkt. Ernest Kadiva(PhD)
2012 - 2014
Mchungaji Charles Mzinga
2008 - 2011
Mchungaji Dkt. Hoyce Mbowe
2007 - 2008
Mchungaji Lewis Hiza
1999 - 2007
Mchungaji Stephen Mokola
1994 - 1999